'CHAPO' KUSOMA DUA MAALUM
TAANGAZO LA DUA YA MAREHEMU NASSOR BILALI ALI- ALIYEKUWA MKURUGENZI WA JUMUIA YA WASAIDIZI WA SHERIA WILAYA YA CHAKE CHAKE PEMBA.
@@@@
WATU wote na
taasisi, wanaalikwa kuhudhuria dua, ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wasaidizi
wa Sheria wilaya ya Chake chake Pemba ‘CHAPO’ Nassor
Bilali Ali.
Dua hiyo, inatarajiwa
kufanyika Ukumbi wa Manispaa ya jiji la Chake chake, ndani ya ukumbi mkubwa.
Siku ya Dua
hiyo ni Jumamosi ya terehe 17/08/2024
Muda wa
kuanza kwa Dua hiyo ni saa 3:00 asubuhi.
Kuhudhuria
kwako ni muhimu, katika kufanikisha dua hiyo.
………..Wabillah Tawfiq…assalaam
Alyek…..
Tangaazo
hili:
Limetolewa
na Kitengo cha Habari, Mawasiliano na Uratibu
CHAPO
– Chake chake Pemba.
+255778921827 Au +255777042182


Comments
Post a Comment